Ezekieli 33:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mwishowe ikatukia kwamba katika mwaka wa kumi na mbili, katika mwezi wa kumi, siku ya tano ya mwezi wa uhamisho wetu, mtu aliyeponyoka kutoka Yerusalemu akanijia,+ akisema: “Jiji limepigwa na kuangushwa!”+
21 Mwishowe ikatukia kwamba katika mwaka wa kumi na mbili, katika mwezi wa kumi, siku ya tano ya mwezi wa uhamisho wetu, mtu aliyeponyoka kutoka Yerusalemu akanijia,+ akisema: “Jiji limepigwa na kuangushwa!”+