9 “Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu ya maasi matatu ya Tiro,+ na kwa sababu ya manne, sitaizuia, kwa sababu ya kulitia mkononi mwa Edomu kundi zima la wahamishwa, na kwa sababu hawakukumbuka agano la ndugu.+
10 huku wao wakisimama mbali kwa sababu ya woga wao wa kuteseka kwake na kusema,+ ‘Ole, ole, wewe jiji kubwa,+ Babiloni wewe jiji lenye nguvu, kwa sababu katika saa moja hukumu yako imefika!’+