Ezekieli 26:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Nitakapokufanya wewe uwe jiji lililoharibiwa, kama majiji ambayo kwa kweli hayakaliwi, nitakapoleta juu yako kilindi cha maji, na maji mengi yawe yamekufunika,+
19 “Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Nitakapokufanya wewe uwe jiji lililoharibiwa, kama majiji ambayo kwa kweli hayakaliwi, nitakapoleta juu yako kilindi cha maji, na maji mengi yawe yamekufunika,+