Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 8:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 kwa hiyo, tazama! Yehova analeta juu yao+ maji yenye nguvu na yaliyo mengi ya ule Mto,+ mfalme wa Ashuru+ na utukufu wake wote.+ Naye hakika atakuja juu ya sakafu zake zote za vijito na kwenda juu ya kingo zake zote

  • Ezekieli 27:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Sasa umevunjwa na bahari kuu, katika vilindi vya maji.+ Navyo vitu vyako vya biashara na kutaniko lako lote,+ vimeanguka katikati yako.

  • Danieli 9:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “Na baada ya yale majuma 62 Masihi atakatiliwa mbali,+ bila kuwa na chochote kwa ajili yake.+

      “Na watu wa kiongozi anayekuja wataharibu+ jiji na mahali patakatifu.+ Na mwisho wake utakuwa kwa mafuriko. Na mpaka ule mwisho kutakuwa na vita; kilichoamuliwa ni ukiwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki