Yeremia 30:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa hiyo wale wote wanaokumeza nao wenyewe watamezwa;+ nao adui zako wote, wote wataenda utekwani.+ Na wale wanaokupora hakika wataporwa, na wale wote wanaokunyakua nitawatoa wanyakuliwe.”+
16 Kwa hiyo wale wote wanaokumeza nao wenyewe watamezwa;+ nao adui zako wote, wote wataenda utekwani.+ Na wale wanaokupora hakika wataporwa, na wale wote wanaokunyakua nitawatoa wanyakuliwe.”+