Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 23:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Hata hivyo, ukiitii sauti yake kabisa na kwa kweli ufanye yote nitakayosema,+ basi hakika nitawaonyesha adui zako uadui na kuwasumbua wale wanaokusumbua.+

  • Isaya 33:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Ole wako wewe unayepora, bila wewe mwenyewe kuporwa, na wako wewe unayetenda kwa hila, bila wengine  kukutendea kwa hila!+ Mara tu utakapokuwa umemaliza kupora, wewe nawe utaporwa.+ Mara tu utakapokuwa umemaliza kutenda kwa hila, wao watakutendea kwa hila.+

  • Isaya 41:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Tazama! Wale wote wanaowaka hasira juu yako wataona aibu na kufedheheshwa.+ Watu wanaogombana nawe watakuwa si kitu na kuangamia.+

  • Yeremia 10:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Mwaga ghadhabu yako juu ya mataifa+ ambayo yamekupuuza,+ na juu ya familia ambazo hazikuliitia jina lako.+ Kwa maana wamemla Yakobo.+ Ndiyo, wamemla, nao wanaendelea kumwangamiza;+ nao wameyafanya makao yake kuwa ukiwa.+

  • Yeremia 25:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “‘Na itatukia kwamba miaka 70 itakapotimia+ nitatoza hesabu juu ya mfalme wa Babiloni na juu ya taifa lake,’+ asema Yehova, ‘kwa sababu ya kosa lao, juu ya nchi ya Wakaldayo,+ nami nitaifanya kuwa mahame yenye ukiwa mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Yeremia 50:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “Iteni wapiga-mishale juu ya Babiloni, wote wanaokanyaga upinde.+ Pigeni kambi juu yake pande zote. Wenye kuponyoka na wasiwepo.+ Mlipeni yeye kulingana na matendo yake.+ Kulingana na yote ambayo ametenda, mtendeeni vivyo hivyo.+ Kwa maana yeye ametenda kwa kimbelembele juu ya Yehova, juu ya Mtakatifu wa Israeli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki