2 Wafalme 18:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na katika mwaka wa kumi na nne wa Mfalme Hezekia, Senakeribu+ mfalme wa Ashuru+ akapanda kuja juu ya majiji yote yenye ngome ya Yuda na kuyateka. 2 Mambo ya Nyakati 28:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa kuwa Ahazi alichukua mali yote katika nyumba ya Yehova+ na nyumba ya mfalme+ na ya wakuu+ na kumpa zawadi mfalme wa Ashuru;+ lakini jambo hilo halikumsaidia kamwe. Isaya 10:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Aha, Mwashuru,+ fimbo ya hasira yangu,+ na kijiti kilicho mkononi mwao kwa ajili ya shutuma yangu!
13 Na katika mwaka wa kumi na nne wa Mfalme Hezekia, Senakeribu+ mfalme wa Ashuru+ akapanda kuja juu ya majiji yote yenye ngome ya Yuda na kuyateka.
21 Kwa kuwa Ahazi alichukua mali yote katika nyumba ya Yehova+ na nyumba ya mfalme+ na ya wakuu+ na kumpa zawadi mfalme wa Ashuru;+ lakini jambo hilo halikumsaidia kamwe.
5 “Aha, Mwashuru,+ fimbo ya hasira yangu,+ na kijiti kilicho mkononi mwao kwa ajili ya shutuma yangu!