Isaya 55:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 ndivyo litakavyokuwa neno langu linalotoka katika kinywa changu.+ Halitarudi kwangu bila matokeo,+ bali hakika litatenda yale ambayo yamenipendeza,+ na hakika litafanikiwa katika yale ambayo nimelituma.+ Ezekieli 33:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Na yatakapotimia—tazama! lazima yatatimia+—wao pia watalazimika kujua kwamba nabii alikuwa katikati yao.”+
11 ndivyo litakavyokuwa neno langu linalotoka katika kinywa changu.+ Halitarudi kwangu bila matokeo,+ bali hakika litatenda yale ambayo yamenipendeza,+ na hakika litafanikiwa katika yale ambayo nimelituma.+
33 Na yatakapotimia—tazama! lazima yatatimia+—wao pia watalazimika kujua kwamba nabii alikuwa katikati yao.”+