Ezekieli 32:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 “ ‘Hao ndio atakaowaona Farao, naye atafarijiwa juu ya umati wake wote.+ Farao na jeshi lake lote watakuwa watu waliouawa kwa upanga,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.
31 “ ‘Hao ndio atakaowaona Farao, naye atafarijiwa juu ya umati wake wote.+ Farao na jeshi lake lote watakuwa watu waliouawa kwa upanga,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.