Mwanzo 10:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Wana wa Shemu walikuwa Elamu+ na Asihuru+ na Arpakshadi+ na Ludi na Aramu. Yeremia 49:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Hili ndilo neno la Yehova lililomjia Yeremia nabii kuhusu Elamu+ mwanzoni mwa ufalme wa Sedekia+ mfalme wa Yuda, kusema:
34 Hili ndilo neno la Yehova lililomjia Yeremia nabii kuhusu Elamu+ mwanzoni mwa ufalme wa Sedekia+ mfalme wa Yuda, kusema: