Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 10:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Wana wa Shemu walikuwa Elamu+ na Asihuru+ na Arpakshadi+ na Ludi na Aramu.

  • Isaya 21:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kuna maono magumu+ ambayo nimeambiwa: Mwenye kutenda kwa hila anatenda kwa hila, na mporaji anapora.+ Nenda juu, Ee Elamu! Zingira, Ee Umedi!+ Nimekomesha kuugua kote kunakosababishwa naye.+

  • Yeremia 25:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 na wafalme wote wa Zimri na wafalme wote wa Elamu+ na wafalme wote wa Wamedi;+

  • Ezekieli 32:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 “ ‘Kuna Elamu+ na umati wake wote kulizunguka kaburi lake pande zote, hao wote wakiwa wameuawa, wale wanaoanguka kwa upanga, ambao wameshuka chini wakiwa hawajatahiriwa mpaka nchi iliyo chini, wale ambao wamesababisha hofu yao katika nchi ya wale walio hai; nao watachukua fedheha yao pamoja na wale wanaoshuka kuingia katika shimo.+

  • Danieli 8:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Nami nikaanza kuona katika maono hayo; ikawa kwamba, nilipokuwa nikiona, nilikuwa katika ngome ya Shushani,+ iliyo katika wilaya ya utawala ya Elamu;+ nami nikaona katika maono hayo, nami nilikuwa kando ya mfereji wa Ulai.+

  • Matendo 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Waparthi na Wamedi+ na Waelami,+ na wakaaji wa Mesopotamia, na Yudea+ na Kapadokia,+ Ponto+ na wilaya ya Asia,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki