Isaya 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ndipo mmoja wa maserafi akaruka kunijia, na katika mkono wake kulikuwa na kaa+ linalowaka ambalo alikuwa amelichukua kwa koleo kutoka kwenye madhabahu.+ Ezekieli 10:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na kukaonekana katika makerubi hao mfano wa mkono wa mtu wa udongo chini ya mabawa yao.+
6 Ndipo mmoja wa maserafi akaruka kunijia, na katika mkono wake kulikuwa na kaa+ linalowaka ambalo alikuwa amelichukua kwa koleo kutoka kwenye madhabahu.+