Yeremia 40:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa hiyo Yeremia akaja kwa Gedalia+ mwana wa Ahikamu kule Mispa+ na kuanza kukaa pamoja naye katikati ya watu waliobaki katika nchi. Yeremia 52:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na wengine kati ya watu wa hali ya chini wa nchi Nebuzaradani yule mkuu wa walinzi akawaacha wabaki kuwa watunza-mizabibu na kuwa wafanyakazi wa kulazimishwa.+
6 Kwa hiyo Yeremia akaja kwa Gedalia+ mwana wa Ahikamu kule Mispa+ na kuanza kukaa pamoja naye katikati ya watu waliobaki katika nchi.
16 Na wengine kati ya watu wa hali ya chini wa nchi Nebuzaradani yule mkuu wa walinzi akawaacha wabaki kuwa watunza-mizabibu na kuwa wafanyakazi wa kulazimishwa.+