Yeremia 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 nao kwa kweli ufanye mabaya machoni pangu kwa kutoitii sauti yangu,+ mimi pia nitajuta kwa yale mema ambayo nilisema moyoni mwangu kuwa nitafanya kwa faida yake.’ Ezekieli 18:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Tazama! Nafsi zote—ni zangu.+ Kama ilivyo nafsi+ ya baba ndivyo ilivyo nafsi ya mwana—ni zangu.+ Nafsi inayotenda dhambi+—hiyo yenyewe itakufa.+
10 nao kwa kweli ufanye mabaya machoni pangu kwa kutoitii sauti yangu,+ mimi pia nitajuta kwa yale mema ambayo nilisema moyoni mwangu kuwa nitafanya kwa faida yake.’
4 Tazama! Nafsi zote—ni zangu.+ Kama ilivyo nafsi+ ya baba ndivyo ilivyo nafsi ya mwana—ni zangu.+ Nafsi inayotenda dhambi+—hiyo yenyewe itakufa.+