14 Nanyi hakika mtaona, na moyo wenu hautakosa kufurahi,+ na mifupa+ yenu itachipuka kama majani mororo.+ Na mkono wa Yehova hakika utajulishwa kwa watumishi wake,+ lakini yeye kwa kweli atawashutumu adui zake.”+
11 Na baada ya zile siku tatu na nusu+ roho ya uhai kutoka kwa Mungu ikaingia ndani yao,+ nao wakasimama kwa miguu yao, na woga mkubwa ukawaingia wale waliokuwa wakiwatazama.