Ezekieli 40:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Na ukumbi wake ulielekea ua wa nje, na maumbo ya mitende yalikuwa kwenye nguzo zake za kando,+ na mpando wake ulikuwa vipandio vinane.+
31 Na ukumbi wake ulielekea ua wa nje, na maumbo ya mitende yalikuwa kwenye nguzo zake za kando,+ na mpando wake ulikuwa vipandio vinane.+