20 Na kile chumba cha ndani kabisa kilikuwa na urefu wa mikono 20, na upana wa mikono 20,+ na kimo cha mikono 20; naye akakifunika kwa dhahabu safi,+ na kuifunika madhabahu+ kwa mbao za mwerezi.
8 Naye akajenga nyumba ya Patakatifu Zaidi,+ urefu wake kuhusiana na upana wa nyumba ulikuwa mikono 20, na upana wake ulikuwa mikono 20;+ kisha akaifunika kwa dhahabu nzuri kiasi chake talanta 600.