Ezekieli 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na kila mmoja wao alikuwa na nyuso nne.+ Uso wa kwanza ulikuwa uso wa kerubi, na uso wa pili ulikuwa uso wa mtu wa udongo,+ na wa tatu ulikuwa uso wa simba, na wa nne ulikuwa uso wa tai.+
14 Na kila mmoja wao alikuwa na nyuso nne.+ Uso wa kwanza ulikuwa uso wa kerubi, na uso wa pili ulikuwa uso wa mtu wa udongo,+ na wa tatu ulikuwa uso wa simba, na wa nne ulikuwa uso wa tai.+