Ezekieli 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kila mmoja wao* alikuwa na nyuso nne. Uso wa kwanza ulikuwa uso wa kerubi, uso wa pili ulikuwa uso wa mwanadamu, wa tatu ulikuwa uso wa simba, na wa nne ulikuwa uso wa tai.+ Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 10:14 Ibada Safi, uku. 44
14 Kila mmoja wao* alikuwa na nyuso nne. Uso wa kwanza ulikuwa uso wa kerubi, uso wa pili ulikuwa uso wa mwanadamu, wa tatu ulikuwa uso wa simba, na wa nne ulikuwa uso wa tai.+