10 Nyuso zao zilionekana hivi: Kila mmoja wa viumbe hao wanne alikuwa na uso wa mwanadamu na uso wa simba+ upande wa kulia, na uso wa ng’ombe dume+ upande wa kushoto, na kila mmoja wa viumbe hao wanne alikuwa na uso+ wa tai.+
7 Kiumbe hai wa kwanza alikuwa kama simba,+ na kiumbe hai wa pili alikuwa kama ng’ombe dume mchanga,+ na kiumbe hai wa tatu+ alikuwa na uso kama wa mwanadamu, na kiumbe hai wa nne+ alikuwa kama tai anayeruka.+