Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 28:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Waovu hukimbia ingawa hakuna yeyote anayewakimbiza,

      Lakini waadilifu wana ujasiri kama simba.*+

  • Isaya 31:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Kwa maana Yehova ameniambia hivi:

      “Kama simba anavyonguruma, mwanasimba mwenye nguvu,* juu ya mawindo yake,

      Kundi lote la wachungaji linapokusanywa kupigana naye,

      Naye haogopi sauti yao

      Au kutishwa na kelele zao,

      Ndivyo Yehova wa majeshi atakavyoshuka ili kupigana vita

      Juu ya Mlima Sayuni na juu ya kilima chake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki