Ayubu 39:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Au, je, ni kwa agizo lako kwamba tai hupaa juu+Na kujenga kiota chake juu sana,+ Ayubu 39:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Akiwa hapo yeye hutafuta chakula;+Macho yake hutazama mbali sana. Ezekieli 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nyuso zao zilionekana hivi: Kila mmoja wa viumbe hao wanne alikuwa na uso wa mwanadamu na uso wa simba+ upande wa kulia, na uso wa ng’ombe dume+ upande wa kushoto, na kila mmoja wa viumbe hao wanne alikuwa na uso+ wa tai.+
27 Au, je, ni kwa agizo lako kwamba tai hupaa juu+Na kujenga kiota chake juu sana,+ Ayubu 39:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Akiwa hapo yeye hutafuta chakula;+Macho yake hutazama mbali sana. Ezekieli 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nyuso zao zilionekana hivi: Kila mmoja wa viumbe hao wanne alikuwa na uso wa mwanadamu na uso wa simba+ upande wa kulia, na uso wa ng’ombe dume+ upande wa kushoto, na kila mmoja wa viumbe hao wanne alikuwa na uso+ wa tai.+
10 Nyuso zao zilionekana hivi: Kila mmoja wa viumbe hao wanne alikuwa na uso wa mwanadamu na uso wa simba+ upande wa kulia, na uso wa ng’ombe dume+ upande wa kushoto, na kila mmoja wa viumbe hao wanne alikuwa na uso+ wa tai.+