2 Samweli 17:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hata mwanamume jasiri aliye na moyo kama wa simba+ hakika atanyong’onyea kwa woga, kwa maana Waisraeli wote wanajua kwamba baba yako ni mwanamume shujaa+ na kwamba wanaume walio pamoja naye ni jasiri. Methali 28:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Waovu hukimbia ingawa hakuna yeyote anayewakimbiza,Lakini waadilifu wana ujasiri kama simba.*+
10 Hata mwanamume jasiri aliye na moyo kama wa simba+ hakika atanyong’onyea kwa woga, kwa maana Waisraeli wote wanajua kwamba baba yako ni mwanamume shujaa+ na kwamba wanaume walio pamoja naye ni jasiri.