16 vizingiti, na madirisha yenye viunzi vyenye upana tofauti,+ na mabaraza yalizunguka hizo tatu pande zote. Mbele ya kizingiti kulikuwa na mbao zilizofunika kuzunguka pande zote,+ na kutoka kwenye sakafu mpaka madirishani; nayo madirisha yalikuwa yamefunikwa.