Yeremia 14:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa kweli nikienda nje shambani, tazama, sasa, wale waliouawa kwa upanga!+ Na kwa kweli mimi nikija ndani ya jiji, tazama, pia, magonjwa yaliyoletwa na njaa!+ Kwa maana nabii na kuhani vilevile wamezunguka kwenda katika nchi ambayo hawakuijua.’”+
18 Kwa kweli nikienda nje shambani, tazama, sasa, wale waliouawa kwa upanga!+ Na kwa kweli mimi nikija ndani ya jiji, tazama, pia, magonjwa yaliyoletwa na njaa!+ Kwa maana nabii na kuhani vilevile wamezunguka kwenda katika nchi ambayo hawakuijua.’”+