-
Ezekieli 44:5Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 Ndipo Yehova akaniambia: “Mwana wa binadamu, weka moyoni mwako+ na uone kwa macho yako, na kwa masikio yako usikie yote ninayokuambia kuhusu kanuni zote za nyumba ya Yehova na kuhusu sheria zake zote, nawe utauweka moyo wako juu ya njia ya kuingilia ya ile Nyumba pamoja na mahali pote pa kutokea pa patakatifu.
-
-
Waebrania 8:5Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 lakini watu ambao wanatoa utumishi mtakatifu katika mfano wa uhalisi+ na kivuli+ cha vitu vya mbinguni; kama vile Musa, alipokuwa karibu kumaliza hema,+ alipewa amri ya kimungu:+ Kwa maana yeye anasema: “Uhakikishe kwamba umevifanya vitu vyote kulingana na mfano wake ambao wewe ulionyeshwa mlimani.”+
-