Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 ndipo akawaambia: “Tieni mioyo yenu katika maneno yote ninayosema kwa kuwaonya ninyi leo,+ ili muwaamuru wana wenu wawe waangalifu kufanya maneno yote ya sheria hii.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 11:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na wale waliowafuata kutoka katika makabila yote ya Israeli, ambao walikuwa wakitoa moyo wao kumtafuta Yehova Mungu wa Israeli, wakaja Yerusalemu+ kumtolea dhabihu+ Yehova Mungu wa mababu zao.

  • Methali 24:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Basi nikaona, mimi mwenyewe; nikaanza kutia jambo hilo moyoni;+ nikaona, nikaikubali nidhamu:+

  • Ezekieli 40:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Naye mtu huyo akaanza kuniambia: “Mwana wa binadamu,+ ona kwa macho yako, na kwa masikio yako usikie, na uweke moyo wako juu ya yote ninayokuonyesha, kwa sababu umeletwa hapa nipate kukuonyesha. Itangazie nyumba ya Israeli kila kitu unachokiona.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki