2 “Yehova amesema hivi, ‘Simama katika ua wa nyumba ya Yehova,+ nawe useme kuhusu majiji yote ya Yuda yanayokuja kuinama katika nyumba ya Yehova, useme maneno yote nitakayokuamuru uwaambie.+ Usiondoe hata neno moja.+
10 “Na wewe, Ee mwana wa binadamu, iambie nyumba ya Israeli kuhusu ile Nyumba,+ ili wafedheheke kwa sababu ya makosa yao,+ nao lazima wapime kielelezo hicho.