Ezekieli 16:63 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 63 ili ukumbuke na kuona aibu+ nawe usije kamwe kuwa na sababu ya kufungua kinywa+ chako kwa sababu ya kufedheheka kwako, nitakapofanya upatanisho+ kwa ajili yako kwa sababu ya yote ambayo umetenda,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.” Waroma 6:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Basi, ni tunda+ gani ambalo kwa kawaida mlikuwa nalo wakati huo? Mambo+ ambayo sasa mnayaonea aibu. Kwa maana mwisho wa mambo hayo ni kifo.+
63 ili ukumbuke na kuona aibu+ nawe usije kamwe kuwa na sababu ya kufungua kinywa+ chako kwa sababu ya kufedheheka kwako, nitakapofanya upatanisho+ kwa ajili yako kwa sababu ya yote ambayo umetenda,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”
21 Basi, ni tunda+ gani ambalo kwa kawaida mlikuwa nalo wakati huo? Mambo+ ambayo sasa mnayaonea aibu. Kwa maana mwisho wa mambo hayo ni kifo.+