Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 16:63
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 63 ili ukumbuke na kuona aibu+ nawe usije kamwe kuwa na sababu ya kufungua kinywa+ chako kwa sababu ya kufedheheka kwako, nitakapofanya upatanisho+ kwa ajili yako kwa sababu ya yote ambayo umetenda,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”

  • Waroma 6:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Basi, ni tunda+ gani ambalo kwa kawaida mlikuwa nalo wakati huo? Mambo+ ambayo sasa mnayaonea aibu. Kwa maana mwisho wa mambo hayo ni kifo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki