Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 18:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nao wataungana nawe na watashika wajibu wao kwa hema la mkutano kuhusu utumishi wote wa hema, wala mgeni yeyote asiwakaribie ninyi.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 23:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kwa maana utendaji wao ulikuwa chini ya mwelekezo wa wana wa Haruni+ kwa ajili ya utumishi wa nyumba ya Yehova juu ya nyua+ na juu ya vyumba vya kulia chakula+ na juu ya utakaso wa kila kitu kitakatifu+ na kazi ya utumishi wa nyumba ya Mungu wa kweli,

  • 1 Mambo ya Nyakati 23:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Nao wakafanya ulinzi wa hema la mkutano na ulinzi+ wa mahali patakatifu+ na ulinzi wa wana wa Haruni ndugu zao kwa ajili ya utumishi wa nyumba ya Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki