Mambo ya Walawi 4:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “‘Kuhani, aliyetiwa mafuta,+ akitenda dhambi+ na kuleta hatia juu ya watu, basi, kwa ajili ya dhambi yake ambayo ametenda,+ atamtolea Yehova ng’ombe-dume mchanga ambaye hana kasoro, kuwa toleo la dhambi. Mambo ya Walawi 8:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Halafu akamwongoza ng’ombe-dume+ wa toleo la dhambi na Haruni na wanawe wakaweka mikono yao juu ya kichwa+ cha yule ng’ombe wa toleo la dhambi.
3 “‘Kuhani, aliyetiwa mafuta,+ akitenda dhambi+ na kuleta hatia juu ya watu, basi, kwa ajili ya dhambi yake ambayo ametenda,+ atamtolea Yehova ng’ombe-dume mchanga ambaye hana kasoro, kuwa toleo la dhambi.
14 Halafu akamwongoza ng’ombe-dume+ wa toleo la dhambi na Haruni na wanawe wakaweka mikono yao juu ya kichwa+ cha yule ng’ombe wa toleo la dhambi.