Yoshua 21:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 kisha wakasema nao huko Shilo+ katika nchi ya Kanaani, wakiwaambia: “Yehova alitoa amri kupitia Musa kwamba sisi tupewe majiji ya kukaa, pamoja na viwanja vyake vya malisho kwa ajili ya wanyama wetu wa kufugwa.”+
2 kisha wakasema nao huko Shilo+ katika nchi ya Kanaani, wakiwaambia: “Yehova alitoa amri kupitia Musa kwamba sisi tupewe majiji ya kukaa, pamoja na viwanja vyake vya malisho kwa ajili ya wanyama wetu wa kufugwa.”+