26 Kwa maana kulikuwa na wanaume wanne wenye nguvu katika vyeo vya kutegemewa. Walikuwa Walawi, nao walisimamia vyumba vya kulia+ chakula na hazina+ za nyumba ya Mungu wa kweli.
17 Naye akanileta hatua kwa hatua ndani ya ua wa nje, na, tazama! palikuwa na vyumba vya kulia chakula,+ na sakafu ya mawe iliyofanywa kwa ajili ya ua kuzunguka pande zote. Palikuwa na vyumba 30 vya kulia chakula juu ya ile sakafu ya mawe.+