24 Naye atatoa toleo la nafaka la efa kwa ajili ya yule ng’ombe-dume mchanga na efa kwa ajili ya yule kondoo-dume, na, kwa habari ya mafuta, hini moja kwa efa.+
7 Naye atatoa toleo la nafaka la efa moja kwa ajili ya yule ng’ombe-dume mchanga na efa moja kwa ajili ya yule kondoo-dume, na kwa ajili ya wale wana-kondoo atatoa kulingana na uwezo wake; na, kwa habari ya mafuta, hini moja kwa efa.+