Mambo ya Walawi 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “‘Na ikiwa utatoa toleo la nafaka la kitu kilichookwa jikoni, kinapaswa kuwa cha unga laini, keki za mviringo+ zilizotiwa mafuta zisizo na chachu, au mkate mwembamba uliotiwa mafuta+ usio na chachu.+ Mambo ya Walawi 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “‘Na ikiwa toleo lako ni toleo la nafaka kutoka katika kiokeo,+ litakuwa la unga laini uliotiwa mafuta, usio na chachu.
4 “‘Na ikiwa utatoa toleo la nafaka la kitu kilichookwa jikoni, kinapaswa kuwa cha unga laini, keki za mviringo+ zilizotiwa mafuta zisizo na chachu, au mkate mwembamba uliotiwa mafuta+ usio na chachu.+
5 “‘Na ikiwa toleo lako ni toleo la nafaka kutoka katika kiokeo,+ litakuwa la unga laini uliotiwa mafuta, usio na chachu.