48 “Na haya ndiyo majina ya makabila hayo. Kutoka upande wa kaskazini, upande wa njia ya Hethloni+ hadi kuingia ndani huko Hamathi,+ Hasar-enani,+ mpaka wa Damasko kuelekea kaskazini, upande wa Hamathi; nayo itakuwa na mpaka wa mashariki na wa magharibi, Dani+ fungu moja.