Mwanzo 49:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Zabuloni atakaa kando ya bahari,+ naye atakuwa kando ya bahari ambapo meli hukaa zikiwa zimetia nanga;+ na sehemu yake ya mbali itakuwa kuelekea Sidoni.+ Yoshua 19:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kisha kura+ ya tatu ilikuwa ni kwa ajili ya wana wa Zabuloni+ kulingana na familia zao, na mpaka wa urithi wao ulifika hadi Saridi.
13 “Zabuloni atakaa kando ya bahari,+ naye atakuwa kando ya bahari ambapo meli hukaa zikiwa zimetia nanga;+ na sehemu yake ya mbali itakuwa kuelekea Sidoni.+
10 Kisha kura+ ya tatu ilikuwa ni kwa ajili ya wana wa Zabuloni+ kulingana na familia zao, na mpaka wa urithi wao ulifika hadi Saridi.