23 Kwa hiyo waambie, ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema: “Hakika nitalifanya neno hili la kimethali likome, nao hawatalisema tena kama methali katika Israeli.” ’+ Lakini waambie, ‘Siku zimekaribia,+ na jambo linalohusu maono yote.’
14 “Ile siku kuu+ ya Yehova iko karibu.+ Iko karibu, nayo inaharakisha sana.+ Sauti ya siku ya Yehova ni chungu.+ Hapo mwanamume mwenye nguvu anatoa kilio.+