Ezekieli 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nayo roho ikaniinua+ na kunichukua, hivi kwamba nikaenda kwa uchungu katika ghadhabu ya roho yangu, na mkono wa Yehova juu yangu ulikuwa wenye nguvu.+ Waebrania 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Pia, kuwahusu malaika yeye anasema: “Naye anawafanya malaika zake kuwa roho, na watumishi wake wa watu wote kuwa mwali wa moto.”+
14 Nayo roho ikaniinua+ na kunichukua, hivi kwamba nikaenda kwa uchungu katika ghadhabu ya roho yangu, na mkono wa Yehova juu yangu ulikuwa wenye nguvu.+
7 Pia, kuwahusu malaika yeye anasema: “Naye anawafanya malaika zake kuwa roho, na watumishi wake wa watu wote kuwa mwali wa moto.”+