Ezekieli 40:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Katika maono ya Mungu alinileta katika nchi ya Israeli na hatua kwa hatua akaniweka juu ya mlima mrefu sana,+ ambao juu yake palikuwa na kitu kama muundo wa jiji kuelekea kusini.+
2 Katika maono ya Mungu alinileta katika nchi ya Israeli na hatua kwa hatua akaniweka juu ya mlima mrefu sana,+ ambao juu yake palikuwa na kitu kama muundo wa jiji kuelekea kusini.+