Ezekieli 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yalipokuwa yakienda, yalikuwa yakienda pande zake nne. Hayakuwa yakigeuka yalipokuwa yakienda, kwa sababu mahali ambapo kichwa kingeelekea, yalienda huko. Hayakuwa yakigeuka yalipokuwa yakienda.+
11 Yalipokuwa yakienda, yalikuwa yakienda pande zake nne. Hayakuwa yakigeuka yalipokuwa yakienda, kwa sababu mahali ambapo kichwa kingeelekea, yalienda huko. Hayakuwa yakigeuka yalipokuwa yakienda.+