Ezekieli 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na kila mmoja wao alikuwa akienda mbele moja kwa moja.+ Popote ambapo roho ilitaka kwenda, walienda.+ Hawakugeuka walipokuwa wakienda.+ Ezekieli 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yalipokuwa yakienda, yalikuwa yakienda pande zake nne. Hayakuwa yakigeuka yalipokuwa yakienda, kwa sababu mahali ambapo kichwa kingeelekea, yalienda huko. Hayakuwa yakigeuka yalipokuwa yakienda.+
12 Na kila mmoja wao alikuwa akienda mbele moja kwa moja.+ Popote ambapo roho ilitaka kwenda, walienda.+ Hawakugeuka walipokuwa wakienda.+
11 Yalipokuwa yakienda, yalikuwa yakienda pande zake nne. Hayakuwa yakigeuka yalipokuwa yakienda, kwa sababu mahali ambapo kichwa kingeelekea, yalienda huko. Hayakuwa yakigeuka yalipokuwa yakienda.+