-
Yeremia 1:13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
13 Na neno la Yehova likanijia mara ya pili, na kusema: “Unaona nini?”
Basi nikasema: “Ninaona chungu cha kupikia chenye mdomo mpana ambacho kinapuliziwa, na mdomo wake umeinama kutoka kaskazini.”
-