12 “Iambie, tafadhali, nyumba yenye kuasi,+ ‘Je, ninyi kwa kweli hamjui maana ya mambo haya?’ Sema, ‘Tazama! Mfalme wa Babiloni alikuja Yerusalemu, akamchukua mfalme wake+ na wakuu wake na kuwaleta Babiloni kwa ajili yake.+
10 Akasema: “Ninyi mmepewa uwezo wa kuzielewa siri takatifu za ufalme wa Mungu, lakini kwa wale wengine zimo kwa mifano,+ ili, ingawa wanatazama, wapate kutazama bure na, ingawa wanasikia, wasiipate maana.+