11 Ndipo nikasema: “Ni mpaka wakati gani, Ee Yehova?”+ Kisha akasema: “Ni mpaka majiji yabomoke, yawe bila mkaaji, na nyumba ziwe bila mtu wa udongo, na nchi iharibiwe iwe ukiwa;+
14 ‘Ndipo nikawatupa kama tufani kotekote katika mataifa+ yote ambayo hawakuyajua;+ nayo nchi imeachwa ukiwa nyuma yao, bila kuwa na mtu yeyote anayepita kati yake wala anayerudi;+ nao wakaifanya nchi yenye kutamanika+ kuwa kitu cha kushangaza.’ ”