Ezekieli 12:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa maana hakutakuwako tena maono yoyote yasiyo na thamani+ wala uaguzi wenye nyuso mbili katikati ya nyumba ya Israeli.+ Mika 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 ‘Basi ninyi mtakuwa na usiku,+ kusiweko maono;+ nanyi mtakuwa na giza, ili msifanye uaguzi. Nalo jua litatua juu ya manabii, na mchana utakuwa mweusi juu yao.+
24 Kwa maana hakutakuwako tena maono yoyote yasiyo na thamani+ wala uaguzi wenye nyuso mbili katikati ya nyumba ya Israeli.+
6 ‘Basi ninyi mtakuwa na usiku,+ kusiweko maono;+ nanyi mtakuwa na giza, ili msifanye uaguzi. Nalo jua litatua juu ya manabii, na mchana utakuwa mweusi juu yao.+