Zaburi 147:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Hajafanya hivyo kwa taifa lingine lolote;+Nao hawajajua maamuzi yake ya hukumu.+Msifuni Yah!+ Waroma 9:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa maana yeye anamwambia Musa: “Nitamwonyesha rehema yeyote ninayetaka kumwonyesha rehema, nami nitamwonyesha huruma yeyote ninayetaka kumwonyesha huruma.”+
15 Kwa maana yeye anamwambia Musa: “Nitamwonyesha rehema yeyote ninayetaka kumwonyesha rehema, nami nitamwonyesha huruma yeyote ninayetaka kumwonyesha huruma.”+