Zaburi 106:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Nao wakawa wakiwatoa dhabihu wana wao+Na binti zao kwa roho waovu.+ Yeremia 2:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Pia, alama za damu za nafsi+ za maskini wasio na hatia+ zimepatikana katika pindo za nguo zako. Sikuzipata katika tendo la kuvunja na kuingia, lakini ziko juu ya hizo zote.+
34 Pia, alama za damu za nafsi+ za maskini wasio na hatia+ zimepatikana katika pindo za nguo zako. Sikuzipata katika tendo la kuvunja na kuingia, lakini ziko juu ya hizo zote.+