12 Hivyo wakamwacha Yehova Mungu wa baba zao aliyekuwa amewatoa katika nchi ya Misri,+ wakafuata miungu mingine kutoka kati ya miungu ya watu waliowazunguka pande zote,+ wakaanza kuiinamia, hata wakamtia uchungu Yehova.+
9 Nao hawakusikiliza,+ lakini Manase akaendelea kuwashawishi wafanye yaliyokuwa mabaya+ kuliko yale mataifa+ ambayo Yehova alikuwa ameyaangamiza kutoka mbele ya wana wa Israeli.