Mwanzo 13:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Basi watu wa Sodoma walikuwa wabaya nao walikuwa wakimtendea Yehova dhambi nzito.+ Mwanzo 18:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Ndipo Yehova akasema: “Kilio cha malalamiko juu ya Sodoma na Gomora+ ni kikubwa, na dhambi yao ni nzito sana.+ Mwanzo 19:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nao wakaendelea kumwita Loti na kumwambia: “Wako wapi wale wanaume ambao waliingia kwako usiku wa leo? Walete nje kwetu ili tulale nao.”+
20 Ndipo Yehova akasema: “Kilio cha malalamiko juu ya Sodoma na Gomora+ ni kikubwa, na dhambi yao ni nzito sana.+
5 Nao wakaendelea kumwita Loti na kumwambia: “Wako wapi wale wanaume ambao waliingia kwako usiku wa leo? Walete nje kwetu ili tulale nao.”+